Baada ya kutesa na wimbo wake wa PRESS PLAY kwa mwaka jana na mwaka huu akatoa LATINO NATION hivi sasa DJ CHOKA anafunga mwaka na wimbo wa STINGA LI ambapo atakuwa ametoa nyimbo mbili kwa mwaka 2013. Stay tune kwa ujio mwingine ambapo atakuwa amewashirikisha wasanii vijana katika game hili la bongo fleva na msichana mmoja mgeni kabisa anayeimba ambaye anaitwa MIS RIZZY pamoja na kijana mmoja anaitwa PLUTO.














0 maoni